Spiritual Healing
Soma mara moja:
لَا تُدْرِكُهُ الْأَبْصَارُ وَهُوَ يُدْرِكُ
الْأَبْصَارَ
Lā Tudrikuhul-Abṣāru Wa Huwa Yudrikul-Abṣār.
Kisha pulizia kwenye sehemu ya kwanza ya kidole cha
shahada na uguse sehemu yenye shangiri kwenye jicho.
Kwa kufanya hivi kwa siku chache, ugonjwa utaondoka.
Andika kwenye karatasi nyeupe:
بِسْمِ اللّٰهِ الرَّحْمٰنِ الرَّحِيمِ
هُوَ اللّٰهُ الْخَالِقُ الْبَارِئُ الْمُصَوِّرُ لَهُ
الْأَسْمَاءُ الْحُسْنٰى
Bismillāhir-Raḥmānir-Raḥīm
Huwallāhul-Khāliqul-Bāri’ul-Muṣawwiru Lahul-Asmā’ul-Ḥusnā.
Kisha ifunge ndani ya kipande cheupe cha kitambaa na
ivae shingoni.
Athari za joto kali zikiondoka, ta'wiz na kitambaa
vyote vichomwe.
Pia soma aya hiyo juu ya sharubati ya sukari ya asili
na unywe. Hii humsaidia mtu kujikinga na madhara ya joto kali.