Topics
Andika kwenye sahani tatu kwa kutumia zafarani na maji
ya waridi:
ثُمَّ رَدَدْنَـٰهُ أَسْفَلَ سَـٰفِلِينَ
Thumma Radadnaahu Asfala Saafileen
Osha sahani moja asubuhi, moja alasiri na moja usiku
kabla ya kulala, kisha mgonjwa anywe maji hayo kwa siku kadhaa.
In shaa Allah udhaifu utaondoka.