Topics
Mwanzoni na mwishoni soma Sala na Salamu kwa Mtume
mara moja, kisha:
mara moja, na:
بِسْمِ اللّٰهِ الرَّحْمٰنِ الرَّحِيمِ
يَا فَتَّاحُ
Bismillāhir-Raḥmānir-Raḥīm
Yā Fattāḥ
mara elfu moja (1000) kabla ya kulala kwa muda wa siku
tisini (90), kisha omba dua na ulale bila kuzungumza na mtu yeyote.
Mfungwa avae hirizi ya Taskheer-e-Hukkaam (kuathiri
mioyo ya viongozi kwa wema na upole) shingoni.
Kila Alhamisi jioni, hirizi hiyo ifukiziwe moshi wa
lubani bila kuitoa kwenye kifuniko chake cha nta au kwenye kifuko chake cha
kitambaa.