Spiritual Healing
Pamoja na kujiepusha na pilipili nyekundu, viungo vya
moto, vyakula vya kukaanga na vyenye uchachu, andika mchoro iliyotolewa katika
kitabu kwenye sahani kila asubuhi, mchana na usiku.
Ioshe kwa maji na uyanywe.
Kwa idhini ya Allah, vidonda vya tumbo vitapona.